TANGAZO

Floyd Mayweather VS Manny Pacquiao tayari kazi imeisha !! Umemjua mshindi


fight-8a_rnd_5_3289903b
Najua watu wengi waliisubiri hii kwa hamu.. wengine hata sio mashabiki wa boxing lakini walijikuta wakivutiwa na hii.. Promo ilikuwa kubwa sana, pambano la kihistoria ambalo dunia nzima ililisubri ni hili kati ya Floyd ‘Money’ Mayweather na Manny Pacquiao.
Points tayari zimeamua, pambano limeenda kwa round 12, Floyd Mayweatherkamshinda Pacquiao kwa points sita tu.. Floyd ana points 117 na Pacquiao ana points 111.

wattt_3289915b
Floyd Mayweather VS Manny Pacquiao tayari kazi imeisha !! Umemjua mshindi Floyd Mayweather VS Manny Pacquiao tayari kazi imeisha !! Umemjua mshindi Reviewed by Unknown on Mei 02, 2015 Rating: 5

Hakuna maoni:

Inaendeshwa na Blogger.